1 Samuel 28:1

Sauli Na Mchawi Wa Endori

1 aSiku zile Wafilisti wakakusanya majeshi yao ili kupigana vita dhidi ya Israeli. Akishi akamwambia Daudi, “Lazima ujue kuwa wewe pamoja na watu wako mtafuatana nami kwenda vitani.”

Copyright information for SwhKC